Kiwanja kinauzwa Iyumbu, Dodoma


KIWANJA KINAUZWA IYUMBU MTAA WA UDOM JIJIÑI DODOMA
Eneo ukubwa ni 350 sq.m
Kinatazama barabara ya mita 15
Kinafaa kwa MAKAZI, FREM KIWANDA CHA TOFALI n.k
Maji/Umeme upo
Eneo limejengeka
Bei ni Tshs. 6,500,000/= ( milioni sita na laki tano tu)
Mawasiliano;
Call # 0713 338141
WhatsApp # 0655 494700
Follow;
housing_real_estate_dodoma
housing_real_estate_dodoma
"MAISHA NI KIWANJA NA NYUMBA"