Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam


📍 Kiwanja kinauzwa kigamboni mjimwema kibugumo
📍Umbal wa kilometer 9 kutoka fer yaan kivukoni
📍Napia umbal wa kilometer 8 kutoka Daraja Ra nyelele
📍Na Niumbal wa mitar 500kutoka Barabara ya lami
📍Napia niumbal wa mita 400 kwenda baharini 🏖️🏖️🏖️
SIFA ZA KIWANJA
📍Kiwanja kinaukubwa wa Sqm 675
📍Kiwanja kimepimwa na kinahat kamil
📍Majiran wako vizur
📍Huduma za kijamii zipo Kama maji, umeme na NK..
📍Bei mill 45
☎️0789020004
NB : Gharama za kupelekwa saint ni erf 20,000