Kiwanja kinauzwa Mwenge, Dar Es Salaam


Apartment Unit 8 zinauzwa
Location: Mwenge Mlalakuwa
Bei ni shilingi Bilioni 2.6 maongezi yapo
*Distance* Kutoka lami ya Sam Nujoma ni Meter 200 mpaka nyumbani
*Unit 4* zenye vyumba 2 vya kulala, master bedroom 1, dinning room, kitchen, public toilet
*Unit 4* zenye Chumba master bedroom, Dinning na kitchen.
*Standalone House* ina bedrooms 5, vyumba 3 master bedrooms, dinning room, sitting room, kitchen na public toilet.
*Eneo linafaa kwa watu wa Hospital na Shule kwa uwekezaji*
Plot size Sqm 2850
Document-Title Deed
-Mapato ya rented apartment per month kwa Unit zote ni *6 Million*
GHARAMA YA KUPELEKWA SITE KUONESHWA NYUMBA TSH 30,000/=
PIGA SIMU KWA MAELEZO ZAIDI
0652912222
0782414315