Viwanja vinauzwa Madale, Dar Es Salaam


MRADI MPYA - MADALE-KISAUKE
📞📞 0762789510
0658769510
>Mradi mpya wa viwanja upo karibu Sana na SHULE YA SEKONDARY KISAUKE
>MRADI upo karibu Sana na Barabara ya Lami
>Mradi upo Umbali wa meter 100 tu kutoka barabara ya lami(MADALE ROAD)
>Mtaa umejengeka vizuri na ujirani ni mzuri sana
>Bei ni tsh 55,000 tu kwa sqm 1 kwa malipo ya cash na 60,000 kwa malipo ya awamu/installment
>Ukubwa wa viwanja ni kuanzia 500SQM na kuendelea
>Huduma zote muhimu zinapatikana eneo la mradi I.e MAJI, UMEME, BARABARA n.k
>Eneo linatazama barabara kubwa ya mtaa.
>Kampuni itasaidia ufuatiliaji wa HATIMILIKI kwa mteja baada ya kukamilisha malipo yote.
MIRADI YETU MINGINE
*GOBA
*KIGAMBONI MWONGOZO
*KIBAHA PICHA YA NDEGE
*TEGETA A
OFISI ZETU ZIPO MWENGE MPAKANI, JENGO LA TANZANITE TOWER, 2nd floor.
KARIBUNI SANA
CALL/WHATSAP 0762789510
0658769510