Viwanja vinauzwa Mwananyamala, Dar Es Salaam
Chalinze bado vipo mabosi zetu, yani ndo kwanza inapamba moto ๐ฅ๐ฅ
Huu ni mradi wa viwanja uliopo chalinze utaweza kumiliki kiwanja kwa unafuu zaidi na utakapo maliza malipo yako tu utapata
Hati ya kiwanja chako ๐ฏ๐ฏ.
CHALINZE (Pingo)
-Bei ya sqm 1 ni Tsh.2,000
-Bei ya sqm 400 (20*20) ni Tsh.800,000 tu
-Ukilipia cash unapata punguzo la 10%
- Malipo ya kidogo kidogo utalipia kila mwezi ama kila wiki
-Muda wa malipo ni miezi 12
Malipo ya mwezi
-Utalipia Tsh.67,000 tu kila mwezi
Malipo ya wiki
-Utalipia kila wiki Tsh.15,400 tu kila mwiki
Ukubwa wa viwanja ni kuanzia
Sqm 400
Sqm 600
Sqm 800
Sqm 1,000 na kuendelea
SIFA ZA MRADI
-Viwanja vyote vimepimwa na Ramani yake iko approved na Halmashauri
-kila kiwanja kina pin (Alama)
- Mradi huu umepakana na Kiwanda cha tiles kilichopo Chalinze
-Mradi huu umepakana na plan ya mwendokasi itakayopita chalinze
-Ni km 4 tu kutoka barabara kuu hadi kufika kwenye mradi
- Baada ya malipo yako kukamilika utapata hati ya kiwanja chako (Hati kutoka wizarani)
Tupigie No.โ๏ธ 0699 543 621
Ofisi zetu zinapatikana Mwananyamala