Viwanja vinauzwa Kimbiji, Dar Es Salaam


๐ Miliki Kiwanja Karibu na Bahari โ Kimbiji Kigamboni! ๐๏ธ
Fursa imefika kwa wale wanaotaka kuwekeza sehemu yenye thamani inayokua kila siku.
Tuna mradi mzuri wa viwanja Kimbiji Kigamboni, eneo tulivu, salama na lenye mandhari ya kuvutia karibu na bahari.
๐ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ Takribani mita 600 kutoka Ocean
๐ฐ Bei ni Tsh 30,000 kwa sqm
โ
Malipo kuanzia 20% โ
Na malipo ya kidogo kidogo ndani ya miezi 18
๐Hii ni nafasi ya kujenga kesho yako leo. Maeneo ya Kigamboni yanaendelea kukua kwa kasi โ usisubiri bei zipande ndipo uanze kufikiria.
Chukua hatua sasa, miliki kiwanja chako halali na salama.
Uwekezaji wa ardhi haujawahi kumuacha mtu maskini.
๐+255 748 303 601
Wasiliana nasi leo upate nafasi yako kabla havijaisha.
#LandInvestment #KigamboniKimbiji #ViwanjaDar #RealEstateTanzania #InvestSmart OwnYourLand BeachSideInvestment



















