Viwanja vinauzwa Bagamoyo, Mbeya


VIWANJA BAGAMOYO
MAHALI
πMradi upo Bagamoyo mita 700 kutoka mizani ya Bagamoyo njia ya kuelekea mlandizi
SIFA ZA VIWANJA
πHuduma zote muhimu zinapatikana karibu na mradi
πViwanja vipo kuanzia sqm 400 yaani 20*20
sqm 500, sqm 600, sqm 700 na sqm 800
πUnaruhusiwa kuunganisha viwanja
MALIPO
πUkilipa cash kuna PUNGUZO LA 10%
πPia unaweza kuanza na malipo ya awali ya 30% na 70% utalipia ndani ya miezi 14
π Kiwanja cha sqm 400 ni Tshs 4,000,000/= 30% ni Tshs 1,200,000/= na 70% ni 2,800,000/= ambayo utalipia kwa miezi 14 yaani kila mwezi Tshs 200,000/= tu
KARIBU
Kufika site ni kila Jumamosi na Jumapili
πMchango wa nauli ni Tshs 10,000/= tuu
TUNAPATIKANA
Sinza Kivulini opposite na S.H Amon buildings barabara ya igesa
Kuweka booking za safari tuwasiliane mapema
β+255683273159 whatsapp + Phone calls
Ujanja ni kumiliki ardhi
#bagamoyo #viwanjadar #viwanjabagamoyo #newproject #2024 #makazi #ardhimali #africadiaspora #kizimkazi #diamondplatnumz #wasafi #realestate #daresalaam #ardhizakijanja #vijana #sunday #weekend



















