Viwanja vinauzwa Kibamba, Dar Es Salaam


Viwanja! Viwanja!
Kibamba, Baada tu ya Mbezi.
Ndugu zanguni, nimewaletea viwanja vya mjini, usivikose.
Ukubwa kuazia smt 300 Hadi smt 600.
Bei kuanzia 4,500,000 Tsh (Milioni nne na nusu), 5,500,0000 Tsh (Milioni tano na nusu) 6,500,000 Tsh (Milioni sita na nusu)
Hivi viwanja vinatupwa, Bei kitonka.
Hapa unatembea zaidi lami kuelekea viwanjani.
Huduma zoote zipo (Mjini, chap upo kariaakoo)
0762 180 122
0762 180 122
Piga simu Sasa!