Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam


KARIBU TUTEMBELEE MIRADI YETU KIGAMBONI.
ðKIGAMBONI MWONGOZO: Kimebakia kiwanja kimoja tu Sqm 500+, Bei @ Sqm ni Sh.30,000/=.
ðKIGAMBONI GEZAULOLE A:Vimebakia Viwanja Viwili tu Yaan Sqm 600 (2), Bei @ Sqm kwa malipo ya cash ni Sh.25,000/= na kwa awamu ni Sh.27,000/=
ðKIGAMBONI MWEMBE MDOGO CENTRE: Vimebaki Viwanja 15
Bei @ Sqm kwa malipo ya cash ni Sh.25,000/= na kwa awamu ni Sh.27,000/=
ðKIGAMBONI MWELA: Vimebakia Viwanja O6 tu, Bei @ Sqm kwa malipo ya cash ni Sh.25,000/= na kwa awamu ni Sh.30,000/=
ðKISARAWE II: Kimebakia Kiwanja Kimoja Tu, Bei @ Sqm kwa malipo ya cash ni Sh.25,000/= na kwa awamu ni Sh.27,000/=
Sifa za miradi hii:
i.Imepimwa na uhakika wa hati miliki kutoka wizara ya ardhi ni 100%
ii.Ipo karibu/ Imezungukwa na huduma muhimu za kijamii ikiwemo maji, Umeme, Shule, Zahanati/ Hospitali nk.
iii.Inafikika kwa urahisi kwa kutumia usafiri wowote
iv. Ipo sehemu tambarare yenye mchanga kiasi unaoweza kutumika katika ujenzi.
Ili kuweza kufika site ujionee mwenyewe: Tupigie tuzungumze.
CHAP CHAP POINT LIMITED
âïž 0744 006001
ðPOSTA, PAMBA HOUSE GHOROFA YA PILI, CHUMBA NAMBA 225.
2024 âNYUMBA BORA INAANZIA KWENYE KIWANJA BORAâ
KARIBUNI SANAð€