Viwanja vinauzwa Mbagala, Dar Es Salaam
![media -1 media -1](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fmakazimapya.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fads%2Fimages%2F2b6384a6-1543-46cf-9f57-85a6631cad64.jpg&w=3840&q=75)
![media -1 media -1](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fmakazimapya.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fads%2Fimages%2F2b6384a6-1543-46cf-9f57-85a6631cad64.jpg&w=256&q=75)
OFA YA VIWANJA KUTOKA KAMPUNI YA RAMAHA LAND.NJOO NA LAKI MBILI NA KISHA ULIPE KIDOGO KIDOGO NDANI YA MIEZI SITA
_____________________________________
0699088721)!0674582245whtasp
_____________________________________Kampuni ya RAMAHA LAND tuna site zaidi ya kumi.
Kati ya hizo mbili zina ofa. Site ya 1,300,000/ anza na laki mbili tu kisha ulipe kidogo kidogo ndani ya miezi sita.
Na site ya 1,500,000/ anza na laki tatu kisha ulipe kidogo kidogo ndani ya miezi mitano.
Site zilizobaki anza na nusu ya bei kisha ulipe kidogo kidogo ndani ya miezi mitatu.
Viwanja vipo ,,,, MBAGALA MBANDE MIPEKO,,,,,, Jilani na uwanja wa mpira wa Azam uliopo Dar es salaam wilaya ya Temeke kata ya Chamazi. Umbali kutoka uwanja wa Azam mpaka kwenye viwanja ni kilomita nne tu. Ukitaka kufika mbande panda gari K /Koo,Temeke, Tandika, Posta na Buza nauli 700/=had Mbande magengeni shuka. Chukua bodaboda 🏍 1000 bajaji 🛺 500 hadi saiti
____________________________________
Ukubwa wa kiwanja na Bei zake
Futi 50 kwa 40 =million 1,000,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,200,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,300,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 1,500,000/=
Fut 50 kwa 40 =milioni 1,600,000/=
Fut 50 kwa 40 =milioni 1,800,000/=
Futi 50 kwa 40 =million 2,000,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 2,200,000/=
Futi 50 kwa 40 =milioni 2,500,000/=
Futi 50 kwa 55 =milioni 3,000,000/=
KWA MITA KUNA
SQM 180
SQM 360
SQM 520
SQM 720
SQM 1080 ______________________________________
Huduma zote za kijamii zipo kwa mfano
Maji✓
Shule✓
Umeme✓
Zahanati✓
Balabala✓
Ofisi yetu ipo wazi kila siku kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na mbili jioni. Njoo ofisini twende site ukachagua kiwanja bora kwa makazi bora na salama.
Na unaweza ukaunganisha zaidi ya kimoja
Karibuni sana wateja KAMPUNI YA RAMAHA LAND uaminifu ni %%%100%%%
_____________________