Viwanja vinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 2,000,000
Project
Yes

HAPA NI ZINGA BAGAMOYO BARABARANI, UKIONA BANGO HILO JUA MRADI WETU NDIO UPO HAPOHAPO.

TUNATOA HATI BURE KABISA HAPA

πŸ“Œ Bei tunauza sqm 1 kwa 18,000Tsh na malipo ni kwa awamu mpaka mwaka mzima yaani kiwanja cha ukubwa wa 20mita kwa 20mita unapata kwa 7milioni na hiyo unalipa kwa mwaka mzima.

πŸ“Œ Malipo utaanza na 2milioni tu, nyingine utalipa kwa awamu ya mwaka mzima.

πŸ“Œ Ukimaliza malipo hati yako unaikuta mezani ofisini kwetu.

πŸ“Œ Hapa tumepima viwanja 50 tu na vyote tunaviuza viwanja vyenye ukubwa wa 20*20 mpaka 30*40 kwa hiyo utaamua wewe unachukua ukubwa upi.

πŸ“Œ Mradi upo mita 500 kutoka barabara kubwa ya lami yanapopita mabasi, unatembea kwa miguu kufika kituoni.

πŸ“Œ Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

KWA MAELEZO ZAIDI TUPIGIE NAMBA HIZI

#0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na kampuni ndio imepima na yenye mamlaka ya kupauza hapa, haruhusiwi mtu yeyote kukanyaga kwenye eneo bila ruhusa ya kampuni.

Tunawajari sana wateja wetu.

Fika ofisini kwetu TEVI COMMERCIAL PARK(ilipo NBC BANK), MBEZI BEACH TANKI BOVU - DAR ES SALAAM.

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

CHUMBA MASTER | SEBULE KUBWA NA JIKO. KUBWA SANA. KODI 500,000/= Γ—6 TU__MBEZI KWA MSUGURI HAPA MBIO ...

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 650,000

APARTMENT INAPANGISHWAIKO-DAR-ES-SALAAMMAHALI _ MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI RENBWO________________...

Viwanja vinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 60,000,000

🏑✨ VIWANJA VINAUZWA – MBEZI MAGUFULI ZONE βœ¨πŸ‘πŸ“ SQM 566 + 566 = 1,132πŸ’° Bei: Milioni 60 (kwa eneo l...

Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 1,400,000

#VYUMBA_VITATU APARTMENT INAPANGISHWAIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI-MBEZI BEACH KWA ZENA______________KO...

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 700,000

#VYUMBA_VIWILI INAPANGISHWAIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI-MBEZI BEACH AFRIKANA ______________KODI TSHS L...

Nyumba inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 35,000,000

NYUMBA MPYA KALIII BEI CHEE INAUZWA MBEZI LUGULUNI YENYE SIFA HIZO###VYUMBA V3 KULALA K1 MASTER,SEBL...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 40,000,000

NYUMBA INAUZWA MBEZI MALAMBA MAWILI DK 4 KUTOKA BARABARA YA RAMI BEI MILLION 40 MAONGEZI YAPO KIDOGO...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

APARTMENT FOR RENT LOCATION MBEZI LUGURUNI UMBALI WA KM 1 TU INAYOPANGISHWA NIYA YA JUUYENYE VYUMBA ...

Viwanja vinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 28,000,000

VIWANJA VIPO MBEZI MAGUFULI ZONE.UKUBWA: SQM 566BEI: MILLION 28, FIXED PRICEUKINUNUA VIWILI BEI INAP...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 1,500,000

Apartment House for rent 2roomsPrice 1,500,000KwamweziMalipo miezi 6Location mbezi beachUpande wachi...

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

APARTMENT INAPANGISHWAIKO-DAR-ES-SALAAMMAHALI _ MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI______________________#C...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 700,000,000

KIWANJA KINAUZWAKIPO ~ DAR ES SALAAM-TzMAHALI = MBEZI BEACH AFRICANA _____________________________UK...

Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 650,000

APARTMENT INAPANGISHWAIKO-DAR-ES-SALAAMMAHALI _ MBEZI BEACH UPANDE WA CHINI RENBWO________________...

Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 1,400,000

#VYUMBA_VITATU _VYA_KULALA#INAPANGISHWA #APARTMENT#IKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI- MBEZI BEACH KWA ZEN...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 750,000,000

Ploti for salePrice milioni 750 mL maongezi Location mbeziLocation mbezi beach africanaUpande wachin...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 13,000,000,000

Ploti for sale Price bilioni 1,3 bilioni maongeziLocation mbezi beach kwazenaUkubwa wa eneoNi sQm 2,...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 170,000

CHUMBA MASTER, SEBLE NA JIKO MBEZI MAKABE MSAKUZI DAR ES SALAAM πŸ‡ΉπŸ‡Ώ KODI: TSH. 170,000/=NYUMBA NI M...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

CHUMBA MASTER | SEBULE KUBWA NA JIKO. KUBWA SANA. KODI 500,000/= Γ—6 TU (Deposit ya 200,000/=)__MBEZI...

Viwanja vinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 28,000,000

VIWANJA VIPO MBEZI MAGUFULI ZONE.UKUBWA: SQM 566BEI: MILLION 28, FIXED PRICEUKINUNUA VIWILI BEI INAP...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

NIMEISHUSHA BEI NIMEISHUSHA BEI SASA KODI 400,000 X 6APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA LOCATION...