Viwanja vinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 3,500,000
Project
Yes

ZINGA KANISANI.

NJIA KUELEKEA KANISA LA ROMA.

ENEO LIPO KATI YA KEREGE NA ZINGA TOWN BAGAMOYO

● Bei tunauza sqm 1 kwa 18,000Tsh na malipo ni kwa awamu mpaka miezi sita(6) yaani kiwanja cha ukubwa wa 20mita kwa 20mita unapata kwa 7milioni na hiyo unalipa kwa miezi sita tu.

Malipo utaanza na 3.5milioni tu, nyingine utalipa kwa awamu ya miezi sita(6).

Ukimaliza malipo utafutaji wa hatimiliki unaanza hapohapo bila kuchelewa.

● Hapa tumepima viwanja 50 tu na vyote tunaviuza viwanja vyenye ukubwa wa 20*20 mpaka 30*40 namaanisha 400sqm,500sqm,600sqm,700sqm,800sqm,900sqm mpaka 1200sqm vipo kwa hiyo utaamua wewe unachukua ukubwa upi.

● Mradi upo mita 500 kutoka barabara kubwa ya lami yanapopita mabasi, unatembea kwa miguu kufika kituoni.

● Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

● Mitaa tumeichonga vizuri na barabara za mitaa tumeweka kubwa size ya 10mita. Unangoja nin kununua sehemu kama hii maana bei ni kama tumegawa bure.

● Majirani wapo tayari na huduma kama maduka ya vitu vidogo vidogo yapo hapo hapo site.

KWA MAELEZO ZAIDI TUPIGIE NAMBA HIZI

#0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na kampuni ndio imepima na yenye mamlaka ya kupauza hapa, haruhusiwi mtu yeyote kukanyaga kwenye eneo bila ruhusa ya kampuni.

Tunawajari sana wateja wetu.

Fika ofisini kwetu TEVI COMMERCIAL PARK(ilipo NBC BANK), MBEZI BEACH TANKI BOVU - DAR ES SALAAM.

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 700,000

APARTMENT KALI MNOO..APARTMENT KALI ZA KISASA 700,000/= X 6TU📍📍NYUMBA HII INA SIFA ZIFUATAZO 📍CH...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

KODI 250000 K X3 /4/5 APATIMENTI ZIPO MBEZI KWA MUSUGURIKUTOKA BARABARANI UMBALI KILOMITA 3 NA POIN...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 280,000

APARTMENT NZURI MPYA ZA KISASA ZINAPANGISHWA BEI NI 280,000X4x5x6PIGA SIMU 💫💫 APARTMENT HII IPO MB...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

KODI 200000 K X6 contact APATIMENTI ZIPO MBEZI KIBANDA CHA MKAAKUTOKA BARABARANI UMBALI KILOMITA1KU...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

APARTMENT MPYA KABISA ZINA PANGISHWA MBEZI KWA MSUGURI KM1.5 KUTOKA LAMI BARABARA SAFI YA ZEGE MBAK...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 50,000,000

BEI MILIONI 50 MAONGEZI YAPONYUMBA INAUZWA IPO MBEZI MWISHO MAENEO YA YUSUFUKITUO UKISHUKA HAPO KWE...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 1,200,000

#VYUMBA_VIWILI_VYA_KULALA#INAPANGISHWA #APARTMENT#IKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI- MBEZI BEACH ( Nyumba ...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam
  • Project

$ 1,200 per month

#VYUMBA_VIWILI _VYA_KULALA#INAPANGISHWA #APARTMENT IKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI- MBEZI BEACH ————————...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

KODI NI 250,000 KWA MWEZI MALIPO NI MIEZI MITATU (3) APATIMENTI ZIPO MBEZI KWA MUSUGURIKUTOKA BARAB...

Nyumba/Apartment inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 150,000

APARTMENT NZURI SANA INAPANGISHWA BEI NI 150,000/= X 3 🌟APARTMENT HIYO INASIFA ZIFUATAZO #CHUMBA MA...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 700,000

APARTMENT KALI MNOO..APARTMENT KALI ZA KISASA 700,000/= X 6TU📍📍NYUMBA HII INA SIFA ZIFUATAZO 📍CH...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

KODI NI 250,000 KWA MWEZI MALIPO NI MIEZI MITATU (3) APATIMENTI ZIPO MBEZI KWA MUSUGURIKUTOKA BARAB...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 1,200,000

DATE: 28/12/2025HOUSE FOR RENT: APARTMENTS ASKING PRICE: MILIONI 1.2TERMS OF PAYMENT: MIEZI 6DIREC...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 5,000,000

BEI MILIONI 5 NA LAKI TANOKIWANJA KINAUZWA KIPO MBEZI MWISHO NJIA YA MALAMBA MWISHO UKISHUKA HAPO K...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 6,000,000

BEI MILIONI 6 NA LAKI TANOKIWANJA KINAUZWA KIPO MBEZI MWISHO NJIA YA MALAMBA MWISHO UKISHUKA HAPO K...

Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 6,000,000

BEI MILIONI 6 NA LAKI TANOKIWANJA KINAUZWA KIPO MBEZI MWISHO NJIA YA MALAMBA MWISHO UKISHUKA HAPO K...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

Apartiment house for rent nzuri kali sana Location mbezi kwa msuguli km1 usafiri upo bajaji na boda ...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

$ 800 per month

VYUMBA_VIWILI _VYA_KULALA#INAPANGISHWA #APARTMENTIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI- MBEZI BEACH____________...

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

#0742260844_#0657484670.NYUMBA INAPANGISHWA MBEZI KIBANDA CHA MKAAUMBALI WA KM 2BODA 1000 BAJAJI 700...

Nyumba inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 11,000,000

BEI MILIONI 11MAONGEZI YAPONYUMBA INAUZWA IPOMBEZI MALAMBAMWISHONI PAGARE CHUMBA SEBULE BADO KUPAUA...