Viwanja vinauzwa Mipeko, Pwani

 media -1
media -1
Sh. 1,000,000
Project
Yes

TUNAUZA VIWANJA LAKI NANE 50 KWA 40 TAMBARALE 0718115549

Tunauza viwanja kwa bei nafuu. Viwanja vipo tambarale safi kabisa na vipo sehemu mbalimbali.

Kama kweli ni muhitaji wa kiwanja huwezi kukosa kiwanja kwa sababu viwanja vyetu vina sifa nyingi zitakazokupendeza. Na hata Kama pesa yako ni pungufu hilo kwetu sio tatizo utalipa kwa awamu.

Maeneo yapo unaweza kuunganisha viwanja kuanzia viwili nakuendelea. Njoo mapema ujionee na uchague kiwanja chako.

BEI ZETU ZINAANZIA

Tsh 1,000,000/
Tsh 1,200,000/
Tsh 1,300,000/
Tsh 1,500,000/
Tsh 1,600,000/
Tsh 1,700,000/
Tsh 1,800,000/
Tsh 2,000,000

MIUNDO MBINU KAMA
Maji
Barabara
Umeme
Shule
Zahanati nk vyote vipo.

Viwanja vipo Mipeko Mbande karibu na uwanja wa mpira wa Azamu uliopo Chamazi wilaya ya Temeke mkoa wa Dark es salaam. Umbali vilipo viwanja na uwanja wa mpira wa Azamu ni km 3.
Kwa mawasiliano zaidi piga 0684629232/ 0718115549 au njoo in box

Maulidi Michenje
viwanja_temeke
Maulidi Michenje

Similar items by location

Viwanja vinauzwa Mipeko, Pwani
  • Project

Sh. 6,000 per sqm

⚡⚡VIWANJA VINAUZWA⚡⚡ LOCATION : MIPEKO WILAYA : MKURANGAMKOA :DSMPAZURI MNOBEI NI NAFUUBEI YA SQM 1 ...

Viwanja vinauzwa Mipeko, Pwani
  • Project

Sh. 1,000,000

TUNAUZA VIWANJA LAKI NANE 50 KWA 40 TAMBARALE 0718115549Tunauza viwanja kwa bei nafuu. Viwanja vipo ...

Viwanja vinauzwa Mipeko, Pwani
  • By Installment
  • Project

Sh. 50,000,000

Karibuni viwanja vya makazi vipo vinauzwa mbande mipeko sehemu ni tambarale pia viwanja vyote vina b...

Viwanja vinauzwa Mipeko, Pwani
  • Project

Sh. 6,000 per sqm

⚡⚡VIWANJA VINAUZWA⚡⚡ LOCATION : MIPEKO WILAYA : MKURANGA BEI YA SQM 1 : 6000 UMBALI WA VIWANJA KITOK...

Viwanja vinauzwa Mipeko, Pwani
  • Project

Sh. 1,000,000

TUNAUZA VIWANJA 50 KWA 40 TAMBARALE 0718115549Tunauza viwanja kwa bei nafuu. Viwanja vipo tambarale...