Viwanja vinauzwa Pugu, Dar Es Salaam


Hapa ni Bangulo,GONGOLAMBOTO Kata ya Pugu Kuna kiwanja kinauzwa kimebakia 1 Tu Viwanja vyote vimepimwa ndugu Mteja
Bei: 12 Milion #maongezi_yapo
Service Charges; 30,000
📍Location: Bangulo,GONGOLAMBOTO Kata ya Pugu
📍Umbali ni KM 5 kutoka Main Road (Bajaji 500 Boda Boda 1000 Kutoka Main Road)
Ukubwa wa kiwanja Ni Sqm 421
✅️Fully Documented
Kiwanja kizuri Sana kipo Katika mazingira mazuri sana Mtaa mzuri kumejengeka sana panafikika kwa Ulahisi sana ni Tambalale Kuna Huduma zote za kijamii zipo kama Vile
✅️Umeme
✅️Maji
✅️Hospital
✅️Shule
Kwa Mawasiliano Zaidi
Calls;
☎️0785916587 Whatsp/Calls
☎️0627511524 Whatsp/Calls