Viwanja vinauzwa Tabata, Dar Es Salaam


🏡 HAPA TUNA VIWANJA VINAUZWA – TABATA SEGEREA (VIWANJA VYA BENKI) 📍
Vipo eneo la kifahari na tulivu katika Tabata Segerea – location bora kwa wanaopenda sehemu nzuri na yenye hadhi.
🔹 Plot No. 114 – Sqm 640 – 💰 Milioni 35
🔹 Plot No. 115 – Sqm 645 – 💰 Milioni 40
✅ Viwanja vimepakana – ukihitaji unaweza kupewa vyote viwili kwa pamoja
✅ Kila kiwanja kina Hati Miliki ya Wizara
✅ Eneo limejengeka na lina thamani kubwa ya uwekezaji
💼 Inafaa kwa makazi binafsi au uwekezaji wa muda mrefu.
📞 Muhitaji piga simu uje uone site:
+255688412890
✨ Dalali wako Wakishua




















