Viwanja vinauzwa Vikindu, Pwani
![media -1 media -1](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fmakazimapya.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fads%2Fimages%2Fe4e008c4-eabe-4b99-9c06-5a3782e343ae.jpg&w=3840&q=75)
![media -1 media -1](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fmakazimapya.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fads%2Fimages%2Fe4e008c4-eabe-4b99-9c06-5a3782e343ae.jpg&w=256&q=75)
Miliki kiwanja/Sasa Kwa sh 2,800,000/=
Milioni mbili na laki nane
Fika vikindu tupo Kila siku viwanja vipo vikindu mjini
Ukubwa wa viwanja vyetu futi 50 Kwa 40 sqm 208
Viwanja vimepimwa na huduma zote za kijamii zipo maji, umeme,shule,
Usafr ni gari Moja tu kutokea Kariakoo, mpaka vikindu temeke mpaka vikindu gari moja tu
Fika vikindu tupo Kila siku kuja kuona miradi ni bure viwanja vyetu vipo vikindu mjini
Utalipa Kwa awamu mbili Anza 2,000,000/ inayobaki utalipa baada ya miezi mitatu ukimaliza deni utapata hati ya makazi mawasiliano zaid 0765333035 0783924010