Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Kona, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 250,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

1

Huduma na Sifa

Sebule
Jiko
Luku Inajitegemea
Maji
Karibu na Barabara

Maelezo

Apartment inapangishwa KIMARA KONA dk5 kutoka main road

NYUMBA INA CHUMBA KIMOJA CHA KULALA

Master bedroom
Sebule
Jiko
Luku yako
Maji yana flow ndani
Usalama wakutosha

Kodi 250,000/= Kwa mwezi mmoja, Malipo miezi 6

Kwa maelezo zaidi piga :--

0712528820
0685221354

Mr.