Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo Kibo, Dar Es Salaam







Maelezo
#Apartments zinapangishwa UBUNGO KIBO
๐ Ziko 2 za Aina tofauti soma maelezo Vizuri
______
_________
๐ Gym
๐ Mashine ya kufulia ipo
๐ Wi-Fi
๐ A/c
______
โ
AINA YA KWANZA
* Jiko kubwa lenye makabati
* Chumba Master
#Bei 400,000/= *3
____________________________
โ
AINA YA PILI
* Jiko Open kitchen yenye makabati
* Sebule
* Chumba Master
#Hapa ipo ya 500,000/= na ya 550,000/= zote kuanzia miez mitatu
___________________________
โ
SIFA ZA ZOTE
* Zinajitegemea UMEME
* Mlinzi yupo 24Hrs
* Mtu wa Usafi yupo
* Mtu wa Garden yupo
* Maji BURE, Usafi BURE, Ulinzi BURE, usafi BURE
๐จ ZINGATIA:
1. Kodi inambatana na hela ya tahadhari (inarudishwa unavyohama)
2. Malipo ya Dalali ni hela ya mwezi mmoja
3. Kupelekwa kuona 15,000/=
0688 067 289 ๐















