Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo River Side, Dar Es Salaam







Ubungo, Ubungo, Dar Es Salaam
21 days ago
Sh. 180,000 per month
Aina
Apartment
Vyumba
1
Huduma na Sifa
Maji
Uzio
Parking Space
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Maelezo
: Nyumba nzuri yakupangisha
Itakuwa wazi mwezi huu tsrehe 25
#Location: ubungo river said
Umbali dakika 4 kutembea
SIFA ZAKE
-chumba kimoja master kubwa
Umeme inajitegemea na Maji DAWASA Yanaflow Ndani
Apartment zipo nne Ndani ya fence Parking Ipo
KODI YAKE Tsh. 180000 Malipo Miezi Sita
Dalali mzoefu mwezi mmoja alipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347
