Apartment ya chumba kimoja inauzwa Goba Mageti, Dar Es Salaam (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
APARTMENTS 4 ZINAUZWA PAMOJA,TSHS.95 MILIONI,GOBA-MAGETI.
Zipo ndani ya kiwanja kimoja ambacho
kina ukubwa wa SQM.400
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Mmiliki ni mmoja.
Kila nyumba inajitegemea na ina:
Chumba kimoja cha kulala,Sebule,
Jiko na Choo cha Wageni.
UNACHOWEZA KUHITAJIKA KUWEKA NI FENSI UKIIHITAJI, vingunevyo zipo vizuri nyumba zote.
Na utaamua wewe aidha Urithi Wapangaji waliopo ama vinginevyo.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________ryt















