Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kinyerezi Ulongoni B, Dar Es Salaam (330 sqm)

Aina
Apartment
Vyumba
1
Ukubwa
330 SQM
Barabara ya Karibu
4km
Maelezo
🏡✨ APARTMENTS MPYA NZURI SANA ZINAUZWA KINYEREZI ULONGONI B DAR ES SALAAM TANZANIA🇹🇿 ✨🏡
Unatafuta sehemu nzuri ya kujenga makazi yako au kufanya uwekezaji wa apartments? Hiki hapa! 👇
📍kinyerezi Ulongoni B
📐 Sqm 330
✅ kiwanja kina fully Documented
✅ Umbali ni dakika 4 kutoka main road
✅ Tambarare kabisa
✅ Hakuna maji wala bonde
✅ Neighborhood nzuri sana
✅Apartments zipo 3 kila Apartments kodi Laki 150,000 Kwa mwezi
✅Chumba Master na Sebule na jiko
✅Kila Apartments inajitegemea Umeme na maji
✅Apartments hizi ukizifanyia mabolesho unaweza kupata Lak 300,000 Kwa Mwezi
💰 Bei: MILIONI 68 TU
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji wa uhakika! 🔥
📞 Muhitaji piga: +255 672551706
#Tabata #KiwanjaKinauzwa #DarEsSalaam #RealEstateTanzania dalaliyohanakinyereziApartments Uwekezaji Kiwanja TabataKinyerezi Nyumba LandForSale TanzaniaRealEstate


