Apartment (Furnished) ya chumba kimoja inapangishwa Kariakoo Street, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
MASTER BEDROOM FOR RENT:<br/>Unaingia kivyako ipo kwa pembeni<br/>Fen<br/>Maji yanaflow chooni<br/>Kutakuwa na KITANDA na TV<br/>Ipo floor ya Tano<br/>Kodi ni sh 400k per month<br/>Malipo ni kuanzia miezi minne na kuendelea<br/>Location KARIAKOO STREET<br/>0712265331 call/whatsap<br/>Call me MR JAMBALAGA aka SENIOR















