Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Goba Njia nne, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
5minutes
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 MASTER BEDROOM, SEBULE NA JIKO ; 400k Full Ac
📍 Goba Njia nne- Nyumba ipo kama dakika Tano kutembea
MAELEZO YA NYUMBA:
✔️ Master bedroom Nzuri sana
✔️ Sebule kubwa, ya kisasa na nadhifu
✔️ Jiko la kisasa lenye makabati
✔️ Parking kubwa na salama
✔️ Umeme unajitegemea
✔️ Ipo barabara Karibu na Lami
💰 Kodi: Tsh 400,000 kwa mwezi
📆 Masharti ya malipo: Miezi 4
GHARAMA NYINGINE:
🔹 Ada ya huduma: Tsh 30,000 (inalipwa mara moja tu)
🔹 Ada ya dalali: Kodi ya mwezi 1
📞 Mawasiliano:
Piga / WhatsApp: +255 692 932 076
📲 Tufuatilie Instagram kwa nyumba zaidi zinazopatikana sasa.















