Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 200,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Bafu

2

Barabara ya Karibu

1.5km — Morogoro Road

Huduma na Sifa

Tiles
Gypsum
Sliding Windows
Luku Inajitegemea
Umeme
Maji

Maelezo

Nyumba inayojitegemea yenyewe inapangishwa ipo kimara korogwe maeneo ya kilungule kwa mwarabu (Darwesh ) umbali wa km 1.5 kutoka Morogoro Road korogwe Mwendokasi Terminal.

Haipo ndani ya fensi ila Mazingira mazuri tulivu na Usalama upo.

Sifa zake -

Chumba kimoja master
Sebule kubwa
Public toilet
Jiko kubwa
Tails
gypsum
Madirisha Aluminium
Umeme Luku inajitegemea
Maji Dawasa yanaflow chooni jikoni & Rezev Simtank ipo.

Kodi ni laki 200,000 /=
Kwa mwezi.

Malipo miezi sita

---------------
NB -MPANGAJI ANAETAKIWA HAPA NI MKIRISTO

Dalali mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba

Mawasiliano

0715949085