Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Migombani, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
1
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba master nzuri sana inapangishwa bei 120000 kodi kuanzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, parking kubwa, peving block, tenk lako la maji, usitume sms utachelewa kujibiwa, Located tabata migombani dar es salaam Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641 Service charge 20000 Malipo ya dalali















