Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kigamboni Mji Mwema, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π’ APARTMENT 3 ZINAUZWA KWA BEI YA KUTUPA β KIGAMBONI MJI MWEMA, DAR ES SALAAM π₯
Fursa adhimu kwa wawekezaji! Nunua apartment zenye mapato ya uhakika kwa bei ambayo ni ngumu kuipata.
β
Bei: TSh 53,000,000 tu (Mazungumzo yapo)
β
Zipo Kigamboni, Mji Mwema
β
Karibu sana na barabara ya lami
β
Eneo salama na linalokua kwa kasi
Sifa za nyumba:
π Apartment 3
ποΈ Kila apartment ina:
β’ Chumba 1 cha kulala
β’ Sebule
β’ Jiko
β’ Choo na bafu
π° Kila apartment inaweza kupangishwa kwa kati ya TSh 180,000 β 230,000 kwa mwezi, hivyo ni fursa nzuri kwa uwekezaji wa nyumba za kupangisha.
π Piga simu leo kupanga kutembelea eneo hili kabla halijauzwa!
Service Charge: TSh 30,000
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni















