Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 300,000

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Maelezo

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ #APARTMENT #INAPANGISHWA
โž–โž–โž–โž–โž–
๐Ÿ“ Kimara Korogwe
๐Ÿ•‘ Umbali kutoka stand ya mwendo kasi ni dakika 10โ€“12. Usafiri wa boda ni Tsh 1,000/= hadi getini kwako. Pia unaweza kupitia Kimara Mwisho.

#SIFA ZAKE

๐Ÿ”น Chumba kimoja Master kikubwa
๐Ÿ”น Sebule kubwa
๐Ÿ”น Jiko nzuri
๐Ÿ”น Umeme LUKU โ€“ wawili, kila mmoja na submeter yake
๐Ÿ”น Maji yanapatikana ndani masaa 24
๐Ÿ”น Fensi inaendelea kujengwa
๐Ÿ”น Ulinzi wa Wamasai masaa 24

๐Ÿ‘‰ Gharama za Maji Taka, Usafi wa Nje na Taka Maji ya Kisima ni Tsh 145,000/= kwa miezi yote sita.
Malipo haya yatalipwa pamoja na kodi, na ukishalipa hutahangaishwa mpaka miezi 6 iishe.

#GHARAMA

๐Ÿ”ถ Kodi: Tsh 300,000/= ร— 6 (miezi sita)
๐Ÿ”ถ Malipo ya Dalali: Tsh 300,000/=
๐Ÿ”ถ Service Charge: Tsh 15,000/=

๐Ÿ“ž Piga Simu:

O740747383

Karibu sana mteja ๐Ÿ˜Š