Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 300,000

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Maelezo

🇹🇿 #NEW APARTMENT INAPANGISHWA#
➖➖➖➖➖

📍Eneo: Kimara Korogwe
🕗 Umbali: 1km kutoka stand ya mwendo kasi usafili bodaboda1000 kwa mguu dakika 15 Tu.

🏡#SIFA ZAKE

🔹 Chumba kimoja Master kikubwa
🔹 Sebule kubwa
🔹 Jiko nzuri
🔹 Umeme & Maji – Inajitegemea
🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24
🔹 Fensi & Packing kubwa sana
👉Nyumba ni MPYA, iko tayari kuhamia kuanzia tarehe 28/12/2025
👉 Kuona nyumba na kufanya malipo kunaruhusiwa.

#GHARAMA

🌲 Kodi: Tsh 300,000/= × 6 (miezi sita)
🌲 Malipo ya Dalali: Tsh 300,000/=
🌲 Service Charge: Tsh 20,000/=

#Piga_simu👇

#📞. &Whatsapp

#please #Follow us🙏

Karibu Sana Mteja😁

0713661530_0783661530