Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 250,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Maelezo

NYUMBA IMESHAFANYIWA UKARABTI WA RANGI SASA IKO TAYARI KWA KUHAMIA##KODI NI 250,000/= KWA MWEZI.

Malipo miezi sita na Malipo ya dalali mwezi mmoja pindi ulipiapo nyumba.

Kuona nyumba elfu 15,000 /=

Nyumba hii ipo kimara korogwe maeneo ya kilungule uwanjani maharufu kwa DARWESH ( MWARABU ) ,Umbali km 1.5 kutoka Morogoro Road.

Ni Apartments ya -
Chumba kimoja master
Sebule kubwa
Public toilet ndani
Jiko na sehemu ya stoo.
Inajitegemea umeme & maji Dawasa yapo 24hrs.
Rezev Simtank
Tails, gypsum, Madirisha vioo
Haipo ndani ya fensi ila Mazingira ni salama na tulivu & gari inafika mpaka hapo.
-------

Mawasiliano 0656623510

Wsp 0752436347