Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 200,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Maelezo

Apartment inapangishwa UBUNGO RIVERSIDE Dk 8

NYUMBA INA CHUMBA KIMOJA CHA KULALA

Master bedroom
Jiko la kisasa
Maji yana flow ndani
Full tilles, gypsum & aluminum
Iko kwenye fenci ila hailazi gali
Usalama wakutosha

Kodi 200,000/= Kwa mwezi mmoja, Malipo miezi 6

Kwa maelezo zaidi piga :-