Nyumba ya vyumba 10 inauzwa Buguruni Rozana, Dar Es Salaam
Buguruni, Dar Es Salaam
1 month ago
Sh. 65,000,000
Maelezo
BANDA LINAUZWA:
Lina vyumba kumi
Lipo kwenye barabara ya Mtaa
Kuna chemba za Dawasa hakuna kuchimba shimo la choo
Njoo ununue na kuwekeza
Mmiliki ni mmoja tu
Bei ni sh Milioni 65 maongezi yapo kidogo sana
Hela ya Soda niletee wewe
Location BUGURUNI ROZANA
call/whatsap
Call me MR JAMBALAGA aka SENIOR











