Tafuta

Nyumba ya vyumba 10 inauzwa Ukonga, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
Ukonga, Dar Es Salaam
22 days ago
Na Mmiliki
Sh. 87,000,000

Maelezo

NYUMBA INAUZWA – MOMBASA, DAR ES SALAAM
💰 Bei: TZS Milioni 87 tu

Sifa za nyumba:

✅ Kiwanja ukubwa wa mita 50×100

✅ Umbali wa Mita 150 kutoka barabara ya lami

✅ Lina Jumba lenye vyumba 7

✅ kuna banda lenye vyumba vitatu

Vyumba vyote vina wapangaji:

✅ Kila chumba kodi kwa mwizi 30,000

✅ Eneo la nje lina nafasi la kujenga vyumba 7

✅ Lina kipato cha 200,000 kwa mwezi



📍 Location: MOMBASA (Transformer, UEFA), Dar es Salaam

📞 Wasiliana na mmiliki:

Matangazo mengine Ukonga, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Ukonga, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 40,000,000

For Sale3 beds1 bath400 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Ukonga, Dar Es Salaam (285 sqm)

Sh. 37,000,000

For Sale3 beds2 baths285 sqmhouse
Mimar Salehe