Nyumba ya vyumba 11 inauzwa Mchangani, Ruvuma
Huduma na Sifa
Maelezo
JENGO LA KUUZWA MCHANGANI β ZANZIBAR π΄π’
π₯ BEI: TSH 800,000,000
Tunauza jengo lenye fursa kubwa ya uwekezaji, lipo Mchangani, katikati ya Mji wa Zanzibar.
π Ukubwa wa eneo: Mita 24 Γ 12
π Jumla ya vyumba: 11, ukiunganisha na nyumba ya chini
π Lipo karibu sana na Soko la Nguo.
π£οΈ Lipo karibu sana na barabara kuu
π§ Pia kuna barabara ya mtaani ya zege inayopita karibu na eneo hili.
π° Eneo hili ni zuri sana kwa uwekezaji, biashara, upangishaji na matumizi mengine ya kibiashara.
π WAWEKEZAJI WOTE MNAKARIBISHWA!
πΉπΏ Tanzania | π΄π² Oman | π¬π§ UK | π Popote pale mlipo.
π₯ MATAJIRI WA ZANZIBAR, FURSA NDIO HII!
π MORE INFO:





