Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam


Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
6 days ago
Sh. 250,000 per month
Aina
Apartment
Vyumba
2
Bafu
1
Huduma na Sifa
Umeme
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Parking Space
Karibu na Barabara ya Lami
Maelezo
Hii apartment inapangishwa bei 250000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala, sebule, jiko na public toilet, no master bedroom, umeme na maji unajitegemea, parking hipo, nyumba inatazama barabara ya lami kama unavyo ona changamuka ndugu wateja wetu, Location tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii
