Tafuta
-
-

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 250,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Bafu

1

Huduma na Sifa

Umeme
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Parking Space
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

Hii apartment inapangishwa bei 250000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala, sebule, jiko na public toilet, no master bedroom, umeme na maji unajitegemea, parking hipo, nyumba inatazama barabara ya lami kama unavyo ona changamuka ndugu wateja wetu, Location tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii