Tafuta
-
-

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Muhanga, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 350,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Maji
Parking Space
(Fence) Ukuta
Umeme
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea

Maelezo

Hii apartment inapangishwa bei 350000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom. sebule. Jiko. Public toilet. Umeme na maji unajitegemea. Parking bubwa. Usalama wa kutosha. Hapa kuna apartment 4 tu ndani ya fence. Location tabata kinyerezi muhanga dar es salaam

Calls/Whatsapp 0653233641 au 0768682919

Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii