Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo River Side, Dar Es Salaam







Ubungo, Ubungo, Dar Es Salaam
24 days ago
Sh. 290,000 per month
Aina
Apartment
Vyumba
2
Bafu
1
Barabara ya Karibu
1.5km
Huduma na Sifa
Parking Space
Maji
CCTV
Intaneti
Balcony
Luku Inajitegemea
Maelezo
Kuna Apartment Moja hapa 'ubungo river side km 1.5 Usafiri bajaji 700 ukishuka dk 2 upo nyumbani
SIFA ZAKE
#########
Ina vyumba viwili sebule, jiko, bafu, Water heater, Feni TV cable connection balcon-mbele na nyuma, iko Floor ya juu, Kuna Mita binafsi ya umeme, Car park ya kutosha, Ulinzi ikiwemo CCTV. Pia kuna Free WiFi. Iko wazi kuanzia tarehe 07 Mar 2026.
kwa:
Bei ya Sh 290,000/=
Malipo ni
Miezi 4, 5, 6
Pia kwa wenye watoto wa chekechea mpaka darasa la sita kuna shule nzuri na bei nafuu sana, hamia na mtoto wako.
Karibuni
Contact
0742260844
0657384670
