Apartment ya vyumba viwili inauzwa Mlimwa C, Dodoma (618 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
š¢ APARTMENT 4 ZINAUZWA ā MLIMWA C, MTAA WA MATHIAS, DODOMA
š° BEI: TSH MILIONI 150 TU
š DOKUMENTI: HATI HALALI (TITLE DEED)
š UKUBWA WA ENEO: SQM 618
Fursa nzuri kwa mwekezaji anayehitaji kumalizia ujenzi na kuanza kuvuna mapato katika eneo linalokua kwa kasi Jijini Dodoma.
Mali hii inajumuisha Apartment 4 ndani ya compound moja.
š APARTMENT 2 ZA KWANZA (ZIMEUNGANA)
ā
Paa limekamilika
ā
Blundering ya ndani imefanyika
ā
Mfumo wa maji safi na majitaka umewekwa
ā
First fitting ya mabomba imefanyika
ā
First fitting ya umeme imefanyika
ā
Grili za madirisha zimewekwa
ā
Milango imewekwa
Muundo wake:
šļø Vyumba 2 vya kulala (vyote Master)
šļø Sebule
š½ļø Jiko
š APARTMENT 2 ZINGINE
ā
Zimefikia hatua ya lenta na kozi 3 juu
Muundo wake:
šļø Chumba Master
šļø Sebule
š½ļø Jiko
š FURSA YA UWEKEZAJI
Mwekezaji anaweza kuziendesha kama Rental Apartments au Airbnb.
š¹ Apartment za vyumba 2 (vyote Master) zikikamilika kwa finishing nzuri zinaweza kupangishwa kati ya TSh 400,000 ā 500,000 kwa mwezi.
š¹ Apartment za Chumba Master, Sebule na Jiko zinaweza kupangishwa kati ya TSh 250,000 ā 300,000 kwa mwezi.
šØ KWA UPANDE WA AIRBNB
š¹ Apartment za vyumba 2 (vyote Master) zina uwezo wa kuingiza kati ya TSh 120,000 ā 150,000 kwa siku.
š¹ Apartment za Chumba Master, Sebule na Jiko zina uwezo wa kuingiza kati ya TSh 80,000 ā 100,000 kwa siku.
š„ Nunua leo, malizia ujenzi kwa ubora unaoutaka na ujenge chanzo imara cha mapato katika moja ya maeneo yanayokua kwa kasi Jijini Dodoma.
š Mlimwa C, Mtaa wa Mathias, Kata ya Miyuji ā Dodoma
š° BEI: TSh 150,000,000/= (Mazungumzo yapo kidogo)
š 0622003172
āļø 0713132555
@TikTok: @dalali_dodoma_professor


