Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 600,000

Aina

Nyumba

Vyumba

2

Maelezo

APARTMENT ZINA PANGISHWA UBUNGO MAKOKA SHULE KM2 KUTOKA UBUNGO LIVERSIDE
----
Vyumba 2 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Jiko kubwa
Public toilet
Maji yana flow
Luku yako
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
------
Service charge 20,000
Kodi 600,000x6
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja tu
-------
Contact
#0676_218580(WhatsApp)
#0693_673010
#Dalali_big_kimara

#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏