Tafuta

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Goba Kulangwa, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 160,000,000

Maelezo

🏡✨ NYUMBA 2 ZINAUZWA – GOBA KULANGWA (Madale Road) ✨🏡

Unatafuta nyumba ya kuishi au uwekezaji wa uhakika wa biashara ya upangishaji? Hii ni nafasi yako!

🔹 Nyumba Kubwa:
• Vyumba 2 vya kulala (vyote Master Bedroom)
• Sebule kubwa na ya kisasa
• Jiko

🔹 Nyumba Ndogo (Units 2):
• Kila moja ina chumba, sebule na choo

🔹 Miundombinu:
• Imezungushiwa fence
• Eneo limewekwa paving blocks
• Parking kubwa ya kutosha

📄 Nyaraka: Upimaji
📏 Ukubwa wa eneo: Sqm 500
📍 Location: Goba Kulangwa – Madale Road
💰 Bei: Tsh Milioni 160

⚠️ Fanya kazi na madalali wanaotambulika kisheria ili kuepuka matapeli.

🏢 Ofisi zetu zipo nyuma ya SkyCity Mall
📞 Wasiliana nasi: 0787 705 274

🙏🏽 Karibu sana boss, fanya uwekezaji sahihi leo

Matangazo yanayofanana Goba, Dar Es Salaam