Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibaha Kongowe, Pwani (400 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
4km — Morogoro Road
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA NZURI YA KUHAMIA INAUZWA KIBAHA KONGOWE TSH MILIONI 17 TU
==========
🔻Ina vyumba viwili vya kulala, Chumba kimoja master
🔻Sebule
🔻Jiko
🔻 Public toilet
==========
👉 Kiwanja chake kina sqm 400 ✅
==========
✍️ Ina umeme na Maji
✍️ Ipo kwenye barabara ya mtaa
👉 Tiles, Gympsum & Slide Window
👉 Ipo 4km kutoka Morogoro road
👉 Ina mabanda ya kufugia
_____________________
💰 BEI MILIONI 17 TU 😋
==========
✍️ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k tu
==========
Call/WhatsApp:















