Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA KALI SANA YA KISASA INAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS TSH MILIONI 20 TU.
==========
π»Ina vyumba viwili vya kulala, Kimoja ni Master
π»Sebule
π»Jiko
π» Public toilet
__________________
π° BEI MILIONI 20 tu
==========
βοΈ Ipo kwenye barabara ya mtaa
βοΈ Imefanyiwa finishing ya kibabe sana nje na ndani
πͺ Kiwanja chake kina sqmt 400 (20*20)
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















