Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibugumo, Dar Es Salaam (900 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Bafu
2
Ukubwa
900 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
APARTMENT-SITA(6) PAMOJA,TSHS.350 MILIONI,KIBUGUMO KIGAMBONI. Umbali wa kilomita 13 tu kutoka FERRY-KIGAMBONI. Nyumba nzuri za Kisasa ndani ya Fensi. Kila moja inajitegemea. @ Vyumba 2 vya kulala (Masta 1) Sebule, Jiko, Dining-room na Choo cha Familia ndani. Kiwanja SQM.900. UMILIKI ni HATI (Title Deed) ya Wizara. Kodi kila Nyumba kwa Mwezi ni Tshs.500,000. Makusanyo ya JUMLA, KILA MWEZI ni TSHS.3 MILIONI. NJOO UWAHI KUWEKEZA. _______________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 _______________UkO















