Tafuta

Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kijichi, Dar Es Salaam (1.5 acre)

video thumbnail
Sh. 2,500,000,000

Maelezo

🏤NYUMBA YA KISASA INAUZWA

Mahali: Kijichi - Miande
Ukubwa wa eneo: Heka moja na nusu

🧾Hati: Hati ya Wizara (clean & ready transfer)

Sifa za Nyumba Kuu:

Vyumba 2 vya kulala (kimoja self contained)

Sebule kubwa na yenye mwanga wa kutosha

Dining area

Jiko la kisasa lenye makabati

Public toilet

Nyongeza (Servant Quarter):

Chumba kimoja cha nje na kina choo chake

Public toilet

Chumba cha kufulia (Laundry)

Eneo ni tulivu, salama na linafikika kwa urahisi - linafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa thamani.

💰Bei: Bilioni 2.5 TZS (maongezi ......yapo sana)

Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba ya ndoto zako Kijichii!

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE ☎️📲📞 0753999903