Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mkundi Sheli, Morogoro


Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA MKUNDI SHELI, MOROGORO MJINI
๐๐๐ : MILLION.15 TU
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo la Mkundi Sheli, upande wa kushoto ukitokea Msamvu kuelekea Dodoma Road.
โ
Vyumba 2 vya kulala
โ
Sebule na huduma muhimu
โ
Boma pembeni lenye room 2 tayari kwa kuendelezwa
โ
Eneo la kuweka uzio limebakia
โ
Umeme na maji vinapatikana kwa uhakika
โ
Nyaraka halali za umiliki kutoka Serikali za Mitaa
โ
Mazingira mazuri na salama kwa makazi
๐๐: Site visit fees 30,000/=
Kwa mawasiliano na kupanga kutembelea eneo
: ๐ 0678 517 158 /๐ 0785 517 158
Usikose nafasi hii ya kupata nyumba kwa bei nafuu ndani ya Manispaa ya Morogoro!.












