Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Tabata Segerea Sheli Oil Com, Dar Es Salaam (250 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
250 SQM
Barabara ya Karibu
5minute
Maelezo
๐ก ENEO LENYE NYUMBA INAUZWA โ TABATA SEGEREA SHELI OIL COM๐ก
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba kwenye eneo zuri la Tabata Segerea Sheli Oil Com โจ
๐ Takribani dakika 5 tu kutoka barabara kuu
๐ฃ๏ธ Barabara inafikika bila shida
๐ Eneo zuri na rahisi kufika
๐ Nyumba ina:
๐๏ธ Vyumba 2 vya kulala
๐๏ธ Sebule
๐ณ Jiko
๐ง Maji yapo
๐ก Umeme tayari
๐ Ukubwa wa eneo: Sqm 250
๐งฑ Tayari kuna fence pande 2, zimebaki pande 2 kumalizia
๐ฐ Bei: Tsh 35,000,000/=
๐ผ Fursa nzuri kwa:
โ
Makazi binafsi
โ
Kununua na kukarabati kisha kupangisha
โ
Uwekezaji wa muda mrefu
๐ฅ Bonus ya Uwekezaji:
Unaweza kubomoa na kujenga master, sebule na jiko za biashara na ukapangisha kwa Tsh 400,000/= kwa mwezi bila changamoto, hivyo ni eneo lenye uwezo mkubwa wa kurudisha mtaji haraka.
๐ Mhitaji piga simu: +255688412890
โจ Dalali wako Wakishua
Karibu tufanye biashara














