Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inauzwa Kigamboni, Mgindoni Kisota, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
600m
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ข APARTMENT ZA BIASHARA ZINAUZWA โ KIGAMBONI, MGINDONI KISOTA
Unatafuta fursa ya uwekezaji yenye kipato cha uhakika? Hizi apartment ni chaguo sahihi kwa ajili ya kuanza au kupanua biashara yako ya upangishaji.
Sifa za Apartment:
โ
Apartment 2 zilizokamilika.
โ
Kila apartment ina vyumba 2 vya kulala, sebule na jiko.
โ
Zimejengwa kwenye eneo la SQM 500.
โ
Eneo limepimwa na lina Hati ya Wizara.
โ
Meta 600 tu kutoka barabara kuu.
โ
Kilomita 10 kutoka Feri ya Kigamboni.
โ
Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere.
Faida za Uwekezaji:
โ๏ธ Zipo katika eneo linalokua kwa kasi.
โ๏ธ Zinatoa fursa nzuri ya kipato kupitia upangishaji.
โ๏ธ Mazingira ni tulivu na yanavutia kwa wapangaji.
๐ฐ Bei: TZS Milioni 160 tu.
๐ค Maongezi kidogo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya kweli.
๐ +255-769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingpage















