Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inauzwa Kisota Ushuwani, Kigamboni, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
300 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏢 BOMA LA KISASA LENYE APARTMENTI LINAUZWA – KIGAMBONI, KISOTA USHUWANI
Fursa adhimu kwa wawekezaji! Pata jengo la kisasa lenye mapato ya uhakika katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni.
Sifa za Mali:
✅ Apartmenti 4
✅ Kila apartment ina:
● Vyumba 2 vya kulala
● Sebule
● Jiko
✅ Ukubwa wa kiwanja: Zaidi ya SQM 300
✅ Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Wizara
Mahali:
📍 Kisota Ushuwani, Kigamboni
📏 Mita 200 kutoka barabara kuu ya lami
📍 Kilomita 5 kutoka Feri
📍 Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere
Bei:
💰 TSh Milioni 200 (Mazungumzo kidogo yapo.)
Fursa ya Uwekezaji:
🏠 Apartmenti za vyumba viwili katika eneo hili hupangishwa kwa TSh 600,000 – 800,000 kwa mwezi kwa kila apartment.
🏠 Endapo utaziwekea samani (Fully Furnished), kila apartment inaweza kuingiza hadi TSh 1,500,000 kwa mwezi, hivyo kukupa mapato makubwa na faida ya muda mrefu.
✨ Huu ni uwekezaji wenye tija kwa yeyote anayehitaji kipato cha uhakika kupitia nyumba za kupangisha.
📞 Wasiliana nasi: 0769 554221
🎯Visit Site 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















