Nyumba ya vyumba 23 inauzwa Ukonga Mazizini, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
23
Ukubwa
1300 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
'KIJIJI KINAUZWA NA BANK' (NYUMBA 7 PAMOJA) TSHS.56 MIL,UKONGA-MAZIZINI. Wahi ujiokotee. Eneo ni UKONGA MOMBASA. Njia ya kuelekea MOSHI BAR. Mita 300 tu kutoka Lami hiyo. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,300 Umiliki ni LESENI YA MAKAZI. Jumla kuna Vyumba 23. Kitegauchumi ndio hiki sasa. Hivyo hivyo ilivyo unakula KODI. Ama ukupenda unaboresha au kuongeza nyumba kadhaa nyingine zaidi. UPATE UTAJIRI HADI WANGA WAKUITE FISADI. WAHI ITAKUFAA WEWE ZAIDI. __________________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 __________________mpg















