Tafuta

Nyumba ya vyumba 23 inauzwa Ukonga Mazizini, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 56,000,000

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

'KIJIJI KINAUZWA NA BANK' (NYUMBA 7 PAMOJA) TSHS.56 MIL,UKONGA-MAZIZINI.

Wahi ujiokotee.

Eneo ni UKONGA MOMBASA.
Njia ya kuelekea MOSHI BAR.
Mita 300 tu kutoka Lami hiyo.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,300
Umiliki ni LESENI YA MAKAZI.

Jumla kuna Vyumba 23.

Kitegauchumi ndio hiki sasa.
Hivyo hivyo ilivyo unakula KODI.
Ama ukupenda unaboresha au kuongeza nyumba kadhaa nyingine zaidi.

UPATE UTAJIRI HADI WANGA WAKUITE FISADI.

WAHI ITAKUFAA WEWE ZAIDI.

__________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

__________________mpg

Matangazo yanayofanana Ukonga, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba 7 inauzwa Ukonga, Dar Es Salaam

Sh. 45,000,000

For Sale7 bedshouse
    Nyumba ya vyumba 23 inauzwa Ukonga Mombasa Mazizini, Dar Es Salaam (1300 sqm)

    Sh. 57,000,000

    For Sale23 beds1,300 sqmhouse
    • Karibu na Msikiti

    • Karibu na Barabara

    Nyumba ya vyumba 23 inauzwa Ukonga Mazizini, Dar Es Salaam

    Sh. 56,000,000

    For Sale23 beds1,300 sqm
    • Karibu na Barabara ya Lami

    Nyumba na Apartments zinazouzwa Ukonga Mombasa Mazizini, Dar Es Salaam (1300 sqm)

    Sh. 57,000,000

    For Sale23 beds1,300 sqmhouse
    • Karibu na Msikiti

    • Karibu na Barabara

    Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Ukonga Mombasa, Dar Es Salaam

    Sh. 22,000,000

    For Sale5 bedshouse
    • Maji

    • Umeme