Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Apartment
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
🏢 APARTMENT ZINAUZWA – KIGAMBONI FANI CITY 🏢
Unatafuta fursa ya uwekezaji yenye mapato ya uhakika au makazi katika eneo linalokua kwa kasi? Hii ni nafasi yako!
✨ Sifa za Apartment:
✅ Jumla ya apartment 4
✅ Apartment 3 zina vyumba 2, sebule na jiko
✅ Apartment 1 kubwa ina vyumba 3, kimoja ni master, sebule na jiko
✅ Ukubwa wa eneo: SQM 600
✅ Hati: Serikali ya Mtaa
📍 Mahali:
• Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
• Kilomita 12 kutoka Ferry
• Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere
💰BEI,Milioni 165
Apartment hizi zipo katika mazingira mazuri, salama na yenye miundombinu mizuri, zikifaa kwa uwekezaji wa kupangisha au makazi ya familia.
📞0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















