Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Maelezo

NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TSHS.35 MILIONI,KIVULE-MAKONDE.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Vyumba 3 (Masta 1) Pia kuna Sebule, Jiko ,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Huduma za Umeme na Maji zipo.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________mskv